MWANZO
Watu wengi wamekuwa wakihangaika na ugonjwa wa bawasiri bila ya mafanikio ya kupona na wengine huwapelekea kuzoea tatizo hili na kuona ni tatizo la kawaida na la mazoea limeshakuwa kuwa kwao kutokana na kukata kwao tamaa,
Yote hii husabishwa na kujitibu kwa muda mrefu bila mafanikio, lakini ukibahatika kuona Post hii basi waweza kuwa umepona ewe mgonjwa wa tatizo hili;
Ufahamu kwanza ugonjwa huu:
Bawasiri ni ugonjwa ambao husababisha vijinyama kutoka nje ya tundu la haja hubwa na kutanuka kuunda mfumo kama wa utumbo ambao huchomoza na kuonekana ni utumbo na kiswahili watu husema ugonjwa wa kujisaidia na utumbo kutoka nje kwa kingereza huitwa hemorrhoids.
Chanzo chake:
Ugonjwa huu huja kwa vyanzo viwili moja ni kama maradhi ya hospitali na yapili ni kama maradhi ya malogo au kulogelezewa,
KAMA HOSPITALI:
Wanavyodai watu wa hospitali au watu wa science ya mwili wa mwanadamu source ya bawasili ni kama ifuatavyo:
*Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu.
*Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa.
*Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile.
*Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu.
*Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
*Kuharisha sana kwa muda mrefu
*Kutumia vyoo vya kukaa
*Kunyanyua vyuma vizito
*Mfadhaiko/stress
*Uzito na unene kupita kiasi nk
Hizo ni baadhi za according za wanasayansi japo still bado hawajaelewa vema where is this come from.. hii ni kwa upande wa kihospitali,
Dalili za bawasiri according to hospital:
*Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
*Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
*Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
*Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
*Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote
Dalili za bawasili according to spiritual
*Ugonjwa hutokea ghafla bila dalili.
*Kutoka maji hovyo bila kipimo
*kutokwa na damu na kuvimba hilo dude hovyo na kusinyaa ghafla
kutoa malenda lenda sehemu hizo,
*haikukumbi athari zake hadi uwe mbele za watu
*usiku ukilala unaota unaingiliwa au kubakwa iwe mwanaume au mwanamke
*kuhisi wakati wa kuvuja damu kama mtu au kitu kinanyonya hapo
* kuambiwa kila aina ya dawa na kutumia zote bila mafanikio
TIBA YAKE:
Ikiwa utatibiwa hospitali na ugonjwa umekaa muda mrefu basi itakulazimu ufikie decision ya kukubali kupasuliwa ambapo kama ni tatizo la kishirikina litapungua kwa kasi kubwa sana na baada kuanza upya kwa nguvu zaidi lakini ikiwa ni la kawaida basi ukipasuliwa ndio umepona na kupewa vidonge vya kukausha hili tatizo..
Pale ambapo litaanza tena basi jua ni mazingara yanafanya kazi na ili uweze kutibia inabidi kitu cha kwanza ujue je, bawasili uliyonayo ni ya ndani au ya nje?
Kama ni ya ndani basi kupona kwake ni ngumu kidoge na itabidi utumie dawa ambazo ukikosea kidogo zaweza kukuletea vidonda vya tumbo ila hilo tatizo litakuwa limetoweka
Na kama ni ya nje basi utawahi kupona kwa maana haya matatizo ili ulijue limekaa kimazingara lile lililotoka nje ndio lipo ndani na la ndani ni hili la nje,
Na kama ni sehemu zote ndani na nje basi hawa hutumia mwezi mzima wa kutumia dawa kuweza kupona,
Ili uweze kuharakisha kupona basi lazima ujue details zote za hilo bawasili kama urefu,upana,lilipoegemea,linavyosurvive details zote utatakiwa uniinbox ili niweze kukwambia na kusugest ni dawa ipi itakufaa hapa natoa mbili tu ya ndani na ya nje ya kwa lile linaloanza kupeya,, yaani lenye miezi minne hadi sita kwa urefu wa nchi 2 na upana wa mdomo wa chupa ya energy ya azam,
DAWA
chukua ubongo wa jogoo mwekundu yule mwenye sharubu na nyongo yake vichanganye pamoja na uviweke kwenye chupa ndogo ya mafuta mazito yale baby care kisha tia humo chumvi,mafuta ya nyonyo na siki ya vinegar ya zabibu,
koroga hadi ibaki rojo ndio itakua mafuta ya kuchua kutwa mara mbili
Kisha chukua
Kitunguu swaumu, pilipili manga,tangawizi na chumvi vijiko vitatu vitatu kisha uchanganye na Asali nusu lita vitunguu vitano vya swaum.. utakunywa asubuhi kabla hujala kitu na jioni..
wiki mbili hilo tatizo linabaki hadithi ya kale kwako
Rakims